Mkopo wa kikundi January 18th, 2019| JE, UKO KATIKA KUNDI LA WATU 5 – WATU 30? JIPATIE MKOPO USIO NA DHAMANA KUPITIA BIDHAA YETU YA MKOPO WA KIKUNDI Kila mtu katika kikundi anaweza kupata mkopo wa kati ya TZS 150,000/= hadi 5,000,000/= Kila mwanakikundi anapaswa kuwa na biashara iliyoidhinishwa kihalali ambayo inaendeshwa kwa miezi isiyopungua 6 Wanachama wa kikundi wawe na umri wa miaka 18 na kuendelea Kila mwanakikundi awe na kadi rasmi ya utambulisho Kila mwanakikundi awe na barua rasmi ya utambuzi kutoka katika ofisi ya serikali ya mtaa iliyo karibu Marejesho yanaweza kufanyika kupitia kwenye Matawi, FINCA Mobile au FINCA Express Wakala Kipindi cha marejesho cha hadi miezi 12 Group Loan Brochure Omba sasa FacebookTwitterLinkedIn