Hakika Akaunti

Muhimu ni kujiamini na kuwa na amani

Pata faida ya riba kila mwezi na uwezo wa kutoa fedha bure kwenye akaunti yako

Vigezo na masharti

Lengo letu ni kufaidisha kila mteja kwa masharti maalum yaliyoundwa ili kutimiza malengo yao vyema.

  • Hakuna makato kuweka fedha zako.
  • Utaruhusiwa kutoa fedha bure mara moja kwa mwezi.
  • Hakuna gharama za uangalizi wa akaunti za kila mwezi.
  • Utapata riba ya mpaka 2% kwa mwaka.
  • Ni rahisi na haraka kufungua akaunti.
  • Utapata ujumbe mfupi wa meseji bure kwa kila muamala utakaofanyika kwenye akaunti yako.

Inavyofanya kazi

Ni hatua rahisi na haraka zaidi

Kitu pekee unachohitaji ni
  • Kuwa na umri usiopungua miaka 18.
  • Uwe na kitambulisho au namba ya NIDA.
  • Tembelea tawi letu ndania ya muda wa kazi kufungua akaunti hii.

Anza maombi yako

Kuomba ni mchakato wa haraka na moja kwa moja.


Maswali yaulizwayo mara kwa mara

Unaweza kutoa au kuweka fedha kwenye akaunti yako kwa kutumia njia tofauti kama vile tawi la FINCA, Wakala wa FINCA Express, TISS, kwa kutumia simu yako ya mkononi yaani FINCA Mobile na FINCA MasterCard.

Ndio, kiasi kisichopungua shilingi 10,000 kinahitajika kuwekwa kwenye akaunti yako.

Ndio, utapata kadi ya FINCA MasterCard ambayo inakuwezesha kutoa fedha kwenye ATM yoyote.

Ndio, utaweza kupata taarifa ya akaunti yako kila utakapohitaji.

Ndio, utaweza kutoa au kuweka elekezo ya unachotaka kifanyike kwenye akaunti yako.

Tunafurahi kuzungumza nawe

Weka namba yako ya simu tukupigie