Wakala wa FINCA

FINCA Express Wakala kwa urahisi wako wa kufanya miamala

Mtandao wa mawakala wetu wa FINCA Express unakuwezesha kupata huduma mtaani kwako ulipo bila kufika kwenye tawi.

Faida za Mawakala wa FINCA

Wanapatikana mtaani kwako, hakuna haja ya kufika tawini.

  • Rahisi kutumia na kuzipata huduma za FINCA huko ulipo.
  • Miamala yote huko ulipo – weka fedha, toa fedha, hamisha fedha kwenye akaunti nyingine ya FINCA, marejesho ya mkopo, ona salio.
  • Okoa gharama, mtandao wa mawakala wetu ni njia rahisi na nafuu ya kufanya miamala yako.
  • Kuwa Wakala wetu na upate kamisheni kubwa zaidi.

Sharti la kutumia huduma za Mawakala

Pata taarifa kamili kwa ufikiaji rahisi n wa huduma zetu.

  • Uwe na miaka 18 au zaidi.
  • Lazima uwe mfanyabiashara binafsi au kampuni.
  • Awe na kitambulisho halali cha Taifa au Nambari ya NIDA.
  • Kuwa na mzunguko wa fedha wa biashara zaidi ya TZS 500,0000.

FINCA Express Wakala – Gharama mbalimbali

Ada Za Miamala

Maswali yaulizwayo mara kwa mara

Mawakala wa FINCA hufanya miamala ya FINCA, kuwasaidia wateja kuona salio na kuwasaidia kuweka akiba.

Miliki biashara iliyosajiliwa na yenye leseni, uwe na anwani ya mahali ulipo, fungua akaunti ya FINCA, umri wa miaka 18 na kuendelea.

Kamisheni kubwa na ya kuvutia hutolewa.

Tunafurahi kuzungumza nawe

Weka namba yako ya simu tukupigie